JOVIAL Tantarira cover image

Tantarira Lyrics

Tantarira Lyrics by JOVIAL


Excuse me 
Nimepata kampenzi
Ananipa raha nyingi
Na kunienzi

Excuse me 
Nimepata kampenzi
Ananipa raha nyingi
Na kunienzi

Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia

Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako

Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah

Hapendi nikiwa na stress
Anapenda nikitabasamu
Anipa mapenzi moto moto

Hapendi nikiwa na stress
Anapenda nikitabasamu
Anipa mapenzi moto moto

Anajua kunipa ham
Mwishowe matam tam
Hajafeli ni wa ukweli
Napata daily

Yeye kwangu ni daktari
Tiba yake nakubali
Hajafeli ni wa ukweli
Napata daily

Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia

Nimeshiba sina njaa
Kila siku raha
Kwake si karaha

Ananipenda kila saa
Sitomnyanyanya paa
Popote tutapaa

Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Umenogewa sitoki kwako

Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah

Watch Video

About Tantarira

Album : Tantarira (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 06 , 2020

More JOVIAL Lyrics

JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl