
Pita Nawe Lyrics
Pita Nawe Lyrics by JOVIAL
Pita Nawe, Pita Nawe
Wananiita komesha roho wakijigonga
Nawapa sabuni ya roho wanapokoga
Wanakata sana pake wamedata
Mbali nami hawasogei wakishapata
Basi sogea nikuelezee
Mi mwenzako ni hoi
Yule wa kwako we mpoteze ei
Kwangu mi hatoboi
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi napita nawe
Songa nikudatishe
Songa mi nikulishe lishe
Njoo nikupagawishe
Wengine uwapishe pishe
Penzi lake pamba
Upande wa kitanda
Wangu bado mshamba
Hajui kutamba
Ipi tui me nikupe mate eeh
Uitafune
Kwako nimejipa
Sina ujinga mi
Beiiby
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Akisleki mi na pita nawe
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah
Watch Video
About Pita Nawe
More JOVIAL Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl