JOEL LWAGA Usipigane cover image

Usipigane Lyrics

Usipigane Lyrics by JOEL LWAGA


Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana
Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana

Acha kutarajia, ishundi
Kwa nguvu zako mwenyewe mmh mmmh
Vita ni ya mungu
Mwache ye atakupigania tu
Acha kuhangaika, na wanadamu
Ili kuongeza jeshi lako eh eh eh
Hao ni wanadamu ,ni watu tu
Watakuhunisha tu eh eh eh
Alimwanbia musa waambie Israel
Watulie waone wokovu wangu wangu leo
Maana wamisri hawa wanaowaona  leo
Hawatawaona tena eh eh eh
Yesu nae kajiita bwana wa sabato
Sabato maana yake pumziko
Tabasamu katikati ya mapito
Ukimwamini bwana
Usipiganeee

Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana
Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana

Kuna yale
Ya wewe kufanya
Na kuna yale ya mungu kufanya
Usimsaidie
Yale yak wake maana hautaweza
Usitikiswe na uhalisia
Usiyumbishwe na mazingira
Iwe unaona, au huoni
Ye anapigana eh eh eh
Usiogope ile ripoti ya dakitari
Usiogope lile deni la ile benki
Usiogope ile kesi mahakamani
Anakupiganiaa
Usiogope utavaa shela lako
Usiogope udogo wa kanisa lako
Usiogope maneno na fitna zao
Vita ni ya bwana
Usipiganeeeee eeeeeh

Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana
Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana
Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana
Usipigane
Vita ni ya bwana
Ukipigana anatulia
Ukitulia anapigana

Watch Video

About Usipigane

Album : Usipigane (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Feb 16 , 2021

More JOEL LWAGA Lyrics

JOEL LWAGA
JOEL LWAGA
JOEL LWAGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl