...

Upo Nami Lyrics by JAPHET ZABRON


Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Ukitaka kujua, ni yupi rafiki wa kweli anaeweza kusimama nawe

Ni ule wakati wapiti matatizo na shida yeye hujitokeza

Yule unaedhani nfiye anaweza kusimama pamoja nawe

Ndiye aweza kukukimbia unapo patwa na shida, hutompata

Kuna huyu rafiki mwema, hunisaidia katika hali zote

Watu wakinitenga yeye yupo hajawahi niacha

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Upepo mbaya, ulipovuma, machafuko ndani ya moyo wangu

Wewe, wewe myuliza mawimbi ukatuliza oo ooh

Nina historia na wewe, hujawahi kuniacha bwana

Hata sekunde moja, mimi ni aibike umekuwa ngao yangu

We yesu ndiwe rafiki mwema , unisaidia katika hali zote

Watu wakiniacha wewe upo, hujawahi kuniacha

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Watch Video

About Upo Nami

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 19 , 2025

More JAPHET ZABRON Lyrics

JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl