JADI Mimi na Wewe cover image

Mimi na Wewe Lyrics

Mimi na Wewe Lyrics by JADI


[Intro: Vince]
Ooh, ooh
Yeah, eeh

[Verse 1: Vince]
Sema, mtoto mrembo na lace kiunoni 
Wema, huo wako uliojaza moyoni
Tena, how you love me
Siwezi eleza mama, aah
Siwezi eleza mama, aah
Umeniteka ndio maana sitaki kwenda
Ndicho kitu sitaki kutenda
Hela, tupate tukose mi nitakupenda
Umeniweza ndio maana nasemaaaa

[Prechorus: Brandon]
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah aah
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah

[Chorus: Jadi]
Mimi na wewe, na wewe eh
Mimi na wewe, na wewe eh yeah

[Verse 2: Ethan]
Najua baby, tukitoa mali kwenye hesabu (ooh) 
Tutajipata, upendo wetu bado unang'aa
Unasimama
Mtoto mzuri tazama, tazama
Tazama wanifanya ninawaza
Na tena tabasamu inang'aa
Fahamu jinsi mimi wanifaa
Mtoto mzuri tazama, tazama
Tazama wanifanya ninawaza
Na tena tabasamu inang'aa
Fahamu jinsi mimi wanifaa

[Prechorus: Brandon]
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah aah
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah

[Chorus: Jadi]
Mimi na wewe, na wewe eh
Mimi na wewe, na wewe eh yeah

[Verse 3: Brandon]
Baby, nahitaji niwe kando yako (kando yako)
Maana wanipaa furaha ya moyo (ooh)
Tabia na urembo pia wa kupindukia
Yanikamilisha baby

[Chorus: Jadi]
Mimi na wewe, na wewe eh
Mimi na wewe, na wewe eh yeah

[Outro: Vince]
Eeh, yeah
Mimi na wewe
Mimi na we, Mimi na we
Mimi na Wewe, baby
Yeah, yeah, yeah

Watch Video

About Mimi na Wewe

Album : Mimi na Wewe
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 27 , 2019

More JADI Lyrics

JADI
JADI
JADI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl