JADI Wivu cover image

Wivu Lyrics

Wivu Lyrics by JADI


Kila soko inachizi wake
Kila ndoa ina drama zake
Na hapa kwetu kuna mapepo, rafiki zako ndio mapepo
Wanataka unishuku, usidhubutu!
Kuwapa hao nguvu, utajikosea Sana
Wananisema vibaya, Kwa ajili Yao tunagombana
Usiwape nguvu utajikosea Sana

Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao

Hao sio marafiki, hawajui unachohisi
Hawaoni unacho ona jamani
Usizamishe meli, usitoroke penzi
Usiniache Mimi mataani
Moyo wangu ni mwepesi (Tahadhari mama)
Chunga isiwe kesi (Umenizika mzima)
Moyo wangu ni mwepesi (Tahadhari mama)
Chunga isiwe kesi (Umenizika mzima)

Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao

Watch Video

About Wivu

Album : Wivu (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : May 13 , 2021

More JADI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl