
Unanifaa Lyrics
...
Unanifaa Lyrics by IYANII
Nataka kuwa na wewe
Siku zote za maisha yangu, malaika
Kwa maisha yangu
Ni wewe daima
Nakupenda sio siri
Na unajuwa shahidi mungu wangu
Fundi wa raha zangu
Ni wewe daima
Harusi tufanye na wewe
Uhame ukuje tuishi kwangu
Watoto wafanane na wewe
Lakini macho wachukue zangu
Tuishi tuzeeke na wewe
Nikifa uzikwe kando yangu
Kwa macho yangu
Ni wewe unanifaa
Ntakupenda mpaka siku watanizika
Nauliza umekuwa wapi
We mpenzi wa roho yangu
Umekuwa wapi
We mzazi wa watoto wangu
Umekuwa wapi
Wewe mboni ya macho yangu
Kwa macho yangu
Ni wewe unanifaa
Ntakupenda mpaka siku watanizika
Bahari ya mapenzi
Tuogelee tukiwa wawili baby
Naahidi kukuenzi siku zangu zote
Za uhai mpenzi
Nina kosa usingizi bila wewe
Mapenzi yangu kwako
Ni ya milele ningependa
Tuishi wawili kwa dunia
Kwa mawingu me na we
Mpenzi twa pepea
Hili ndio dua langu
Kwa mwenyezi nakuombea
Kwa macho yangu
Ni wewe unanifaa
Ntakupenda mpaka siku watanizika
Nauliza umekuwa wapi
We mpenzi wa roho yangu
Umekuwa wapi
We mzazi wa watoto wangu
Umekuwa wapi
Wewe mboni ya macho yangu
Kwa macho yangu
Ni wewe unanifaa
Ntakupenda mpaka siku watanizika
Watch Video
About Unanifaa
More IYANII Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl