
Kidonda Changu Lyrics
Kidonda Changu Lyrics by HARMONIZE
Mazuu On The Beat!
Uh uuh
Uh uuh
Mmh!
Yale maneno matamu nikafikiri nyota njema
Mara asubuhi, asubuhi moyoni
Kumbe miale ya sumu ulikusudia kunichoma
Angali sijui, sijui kisa niii
Nimeamini penzi, penzi zigo la miba
Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)
Bila ye siwezi mwenzenu napata shida
Amani sina kinauma kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Yarabi moyo wangu
Yale mahaba ninyonge ntayamiss saana si unajua
Umenifanya nikonde shilingi sina ningenunua
Umenipora hata tonge angali shibe sina utaniua
Ningekunywaga na pombe, ila kichwa sina ningezimia
Nimeamini penzi, penzi zigo la miba
Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)
Bila ye siwezi mwenzenu napata shida
Amani sina ninaugulia kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Jamani kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Yarabi moyo wangu
Mmh!
Na tena sipati usingizi (ai moyo, ai moyoo)
Ati kula mi siwezi (ai moyo, ai moyoo)
Tena nusu niwe chizi (ai moyo, ai moyoo)
Yote kisa mapenzi (ai moyo, ai moyoo)
Mazuuuuu (Record!)
Maximizer
Harmonize baby!
Watch Video
About Kidonda Changu
More HARMONIZE Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl