HARMONIZE Inanimaliza cover image

Inanimaliza Lyrics

Inanimaliza Lyrics by HARMONIZE


(Its Bonga)

First time when I saw you
Nilitamani nikueleze how I feel
That was ..alafu macho nikukonyeze
Maybe you can feel

I swear moyo ungekuwa kitabu
Ningefunua uone yaliyomo ndani
Yaani mwenzako napata taabu
Sina furaha hata tone, nionege imani
Oooh my love ooh ooh

Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, NO, NO
Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, No, No, No yeah

Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza
Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza

(Babylon Bizy)
Sibongi nimekuwa kimbau mbau
Ghafla chui nimekuwa kinyau nyau
Mpaka sijui nayosema nimesahau
Vita ya penzi imekuwa kama Mau Mau

Nikiona sura nakonda
Nikiona chura nashindwa kubonga
Nakua mburura masikini omba omba
Kutwa nazurura kutuliza kidonda

Maumivu kama yangu anayo Konde Boy
Namtuliza mwanangu ah usikonde boy
Macho yanaona yes akili inasema 
No No No atakukazia

Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, NO, NO
Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, No, No, No yeah

Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza
Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza

Watch Video

About Inanimaliza

Album : AFRO EAST / Inanimaliza (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Konde Worldwide.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 15 , 2020

More lyrics from Afro East album

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 1 )

.
6019 2020-03-24 06:43:00

That was ...(dream come true) Missing line Hot



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl