HARMONIZE Amelowa cover image

Amelowa Lyrics

Amelowa Lyrics by HARMONIZE


Yaw yaw

Iyo miinamo huko myuma yaliyomo yamo
Binti wa makamo
Come closer and give me some o oh
Kama tunda lilimshinda adamu
Akashindwa kuvumilia
Sasa kwanini tuitane binamu
Me nina nyongo itatumbukia
Ulimi ukipitiliza unanimaliza
Mwenzako bado najiuliza ivi ni kweli ama tunaigiza
Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Me ndio fundi war aha zake natwanga na kukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gear
Zikanipanda hisia
Nanilipo chuchumia maji yakatoka
Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Motto Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Uuuhh aaahh
Ameniweka kwenye chupa ndio maana amatamba
Uuuhh aaahh
Wenye papara pupa nawaona washamba
Nyope nkamwanao anyakwile chakunoa
Chachikutila mwanao liduva lipambahuka kulyamba
Liduva lipambahuka kulyamba
Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Me ndio fundi war aha zake natwanga na kukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gear
Zikanipanda hisia nanilipo chuchumia maji yakatoka
Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Motto Amelowa amelowa amelowa na mvua
Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Ameniweka kwenye chupa ndio maana amatamba
Hao  vijana
Wenye papara pupa nawaona washamba
Ate ntwangu unandeke
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gear
Zikanipanda hisia nanilipo chuchumia maji yakatoka
Amelowa

Watch Video

About Amelowa

Album : Amelowa (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Sep 13 , 2022

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl