Hainogi Lyrics by ABDUKIBA


Kama huna senti, basi utapagawa
Wenzako wanahonga we unalala njaa
Watu wanacheka  na kuna raha
Shida zako weka kando hakuna ujamaa

Na tukiwa na vibe hatunaga aibu
Waliokuja na abaya wamevua hijabu
Naona maajabu kukosa tungi Club
Madenti wanadate mpaka na vibabu 

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Lapa lapa anaringa huyo 
Tafuta mwingine fasta
Wengi wako single single single
Oya shusha iweke (Shusha iweke)
Naula ubweche (Naula ubweche)
Choma upepe (Choma upepe)
Au tungi ulete

Na tukiwa na vibe hatunaga aibu
Waliokuja na abaya wamevua hijabu
Naona maajabu kukosa tungi Club
Madenti wanadate mpaka na vibabu 

Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Ulanji na supu (Hainogi)
Upate udoro na kuku (Hainogi)
Chai na bungo (Hainogi)
Kwa mchawi usiende na ungo (Hainogi)

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi

Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi

Watch Video

About Hainogi

Album : Hainogi (Single)
Release Year : 0
Copyright : (c) 2021 Kings Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 11 , 2021

More ABDUKIBA Lyrics

ABDUKIBA
ABDUKIBA
ABDUKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl