
Paroles de Usichelewe
...
Paroles de Usichelewe Par WALTER CHILAMBO
Aaaah
Walter tenaaa
Mungu wangu
naomba niongee na wewe
Hata kidogo
Nasikia uchungu ndani ya Moyo
Mambo yamekuwa mazito
Na siwezi peke yangu
Naona maumivu ndani ya moyo
Na umesema walipo wawili wewe upo
Najiuliza nikiwa peke yangu je we upo?
Ni kweli na imani
Lakini kuna muda nachoka
Na si kwamba sikuamini
Nakuamini sanaa
Nimeomba,nimefunga na nimetoa sadaka
Ila mambo yanayumba,fanya hima uje haraka
Basi uniambie mi (Ni wapi nakosea)
Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)
Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)
Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuomba
usichelewe...( nachoka, nachoka )
usichelewe...( tazama moyo umechoka )
usichelewe...( nitangoja, ntangoja )
usichelewe...( Mi mwanao bado ntangoja )
Wenzangu wana marafiki
Wa kuwaambia shida zao
Na mimi we ndio wangu RAFIKI
Ninakuambia haja zangu
Siulisema
Utanibariki mjini na mashambani
Siulisema
Niingiapo na nitokapo nitabarikiwa
Siulisema
Fedha na dhahabu vyote ni mali yako
Siulisema
Nikiomba utanipa zaidi ya niombavyo
Nimeomba,nimefunga na nimetoa sadaka
Ila mambo yanayumba,fanya hima uje haraka
Basi uniambie mi (Ni wapi nakosea)
Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)
Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)
Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuomba
usichelewe...( nachoka,nachoka )
usichelewe...( tazama moyo umechoka )
usichelewe...( nitangoja ,ntangoja )
usichelewe...( Mi mwanao bado ntangoja )
Ecouter
A Propos de "Usichelewe"
Plus de Lyrics de WALTER CHILAMBO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl