WALTER CHILAMBO Sijawahi Ona cover image

Paroles de Sijawahi Ona

...

Paroles de Sijawahi Ona Par WALTER CHILAMBO


Sijaumbwa kwa bahati mbaya

Aah jamani napendwa

Hivi hivi nilivyo

Mungu ananipenda

Pamoja na madhaifu yangu

Lakini napendwa

Hivi hivi nilivyo

Mungu ananipenda

So ukinidharau,we nidharau tu

Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu

Na ukinicheka,we nicheke sana

Hizo kwa Mungu kelele tu

Hazinisumbui wala

Mungu wangu halali

Mungu wangu hasinzii

Na akisema anakubariki

Hakuna wakuzuia

Mungu wangu hashindwi

Mungu wangu hapangiwi

Neno lake halijawahi kupita

Bila kutimia....sijawahi ona

Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)

Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)

Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)

Sijawahi ona aah aaah (baba baba baba)

Wewe umesema akutegemeaye

Haumuachi ng'o aah aaah

Akutegemeaye Haumuachi ng'o

Na tukiomba kwa bidii

Tena kwa kumaanisha

Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo

Nakosaje ujasiri ndani

Nimembeba mtu wa maana

Naanzaje ...naanzaje

Hatua moja huanzisha nyingine

Na nyingine ananipa mwenyewe

Naachaje ....naachaje

Mungu wangu halali

Mungu wangu hasinzii

Na akisema anakubariki

Hakuna wakuzuia

Mungu wangu hashindwi

Mungu wangu hapangiwi

Neno lake halijawahi kupita

Bila kutimia....sijawahi ona

Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)

Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)

Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)

Sijawahi ona aah aaah (Baba baba baba)

Ecouter

A Propos de "Sijawahi Ona"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2024
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Sep 20 , 2024

Plus de Lyrics de WALTER CHILAMBO

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl