Paroles de Cheza Par RJ THE DJ


Rj the Dj, all day baby

Penzi lina meno limeuma
Lina ya mbele na ya nyuma
Ukipata wa kukutafuna 

--sina shaka mama
Kila chonde chonde
Saa na tochole wasijue
Jamani

Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa

Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana 
Mwisho wa siku nitazikwa naye

Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka

--------------------

--------------------

Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa

Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana 
Mwisho wa siku nitazikwa naye

Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka

Ecouter

A Propos de "Cheza"

Album : Changes/ Cheza (Album)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 Wasafi Records
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 07 , 2019

Plus de lyrics de l'album Changes

Plus de Lyrics de RJ THE DJ

RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl