NAY WA MITEGO Michano cover image

Paroles de Michano

Paroles de Michano Par NAY WA MITEGO


[INTRO]
Call 911. Kuna vita mura. Vita

Vita ni vita mura
Iwe bunduki au sime
Wakubwa wakigombana
Shika jembe kalime

[VERSE 1]
Weka mikono juu
Tusali sala ya mwisho (amen)
Waambie kwamba siogopi vitisho
Sisapoti ujinga na sipendi miyeyusho
Haya matusi au mabisho
Mi nawaona wao mwisho

Naona masikini amepata
Matako yanalia mbwata
Amesahau alikotoka
Na kuhara kama bata

Wamesifiwa mbio wamepitiliza kwao
Najua mwisho wa movie lazima itakula kwao
Mambo yanabadilika pita kwa page ya mange
Siku hizi anaposti umbea mambo ya kisenge

Wananitafutia sababu ilimradi wanifunge
Naomba niwakumbushe mi msanii sio mbunge
Unasema shabiki yangu alafu unanitukana
Shabiki mandazi kamshabikie mamako

[CHORUS]
Wanangu mmemisi nini... (michano)
Nini? (michano) nini? (michano)
Semeni mnataka nini... (michano)
Nini? (michano) nini? (michano)
Hakika mmemisi nini (michano)
Siwasikii? (michano)
Siwasikii? (michano)
Semeni mnataka nini (michano)
Nini? (michano)
Eti nini? (michano)

[VERSE 2]
Bongo flavour sio movie wadanganyia
Wacheni ujinga
Siku hizi kila malaya wa mjini anataka kuimba
Hawana nguvu za kiume  vijana wengi wa bongo
Jongoo hapandi  mtungi mpaka atumie cha mgongo
Wanangu mmemisi michano
Sio bolingo la chakacha
Waambie hii imetoka ipo ingine inafuata
Dada zao wananambia (Ney hunaga show Mbovu)
Si mmekula sabuni haya toeni mapovu
Najua hamfiki mbali
Hizo ni mbio  za kuku
Mitandaoni mbembwe nyingi
Kwenye show hamna kitu
Kama hupendwi hupendwi tu
Shabiki shangwe hawakupi
Mwenzako nashangiliwa
Ata nkikisifia chuki

Mara ooh nafanya kazi nzuri
Ila nahisi naibiwa
Okey unaifanya nakukunyonya
Kwani we una maziwa
Unasema shabiki yangu
Alafu unanitukana
Shabiki mandazi
Kamshabikie mamako

[CHORUS]
Wanangu mmemisi nini... (michano)
Nini? (michano) nini? (michano)
Semeni mnataka nini... (michano)
Nini? (michano) nini? (michano)
Hakika mmemisi nini (michano)
Siwasikii? (michano)
Siwasikii? (michano)
Semeni mnataka nini (michano)
Nini? (michano)
Eti nini? (michano)

[OUTRO]
Vita ni vita mura
Iwe bunduki au sime
Wakubwa wakigombana
Shika jembe kalime

Free Nation

 

Ecouter

A Propos de "Michano"

Album : Michano (Single)
Année de Sortie : 2018
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Dec 08 , 2018

Plus de Lyrics de NAY WA MITEGO

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl