NAY WA MITEGO Nyie Ni Nani cover image

Paroles de Nyie Ni Nani

...

Paroles de Nyie Ni Nani Par NAY WA MITEGO


Comfortable

Serious

Hahah the street president

Let’s go

Chibby

Me ndo mtoot wa elibariki, aka nay wamitego

Mtetezi mwenye maumivu, ka nimeng olewa gego

Sina chama cha siasa, nawaamsha msiwe wajinga

Me ndo raisi wa kitaa, niliepita bila kupingwa

Nadalin mnangola nife mseme, nimeumaliza mwendo

Na alikua jasri mwanaharakati, na mzalendo

Na sijawahi kukaaa kimya, mambo yanapokwenda kombo

Kisa ninyi nshakamatwa, nishapoteza michongo

Navutana na basata, mmetulia mpo kando

Wadau wananilenga, naonekana kinega

Nyimbo hazipigwa media, nnataka niimbe kibega

Ninyi ni wakina nani

Vipofu (naani)

Viziwi (naani)

Mmekufa (naani)

Mmelafa (naani)

Au nyie ndo bongo lala, sina kadi ya chadema

Ccm nikafanye nini, dada yenu wa marekani

Kawasubirisha ndege stendi, haya mambo ya utekaji

Mmechukua hatua gani, kama sio kazi yenu

Mnadhan ni kazi ya nani, naongea na ninyi

Nyie ni watu gani, mnanitanguliza mbele nikigeuka siwaoni

Ok, tuache hayo mbona, mbona mnasahau haraka

Wakiwaomba mitano, hamuulizi jumia mingap

Hamuulizi mmefanya nini, mliahidi nini

Na namjafanya nini, na kwanini

Nauliza nyie wakina nani

Sijui mpo upande gani

Nyie wa kaki au kijani

Hivi nyie wa dunia gani

Vipofu (naani)

Viziwi (naani)

Mmekufa (naani)

Mmelafa (naani)

Au nyie ndo bongo lala

Kila siku najiuliza nyie mpo kundi gani

Kama ni familia watoto kila mtu anao nyumbami

Ok tufanye sasa

Ukae na mke wako ndani

Mimi na mama nyumbami

Tuone ata sema nani

Daily mnalalamika uchagazi haukua wa haki

Wawakilishi watasema nini wajkati wao ndio wafuasi

Na nyimyi mtafanya nini wakati kusema hamtaki

Kuhusu genz wa kenyan do ni africa nyingine

Tubishane samba na yanga na nguvu za kiume

Wembe ni ule ule halifichiki pempe la ngombe

Watetezi wenu ndo kwanza wanawaita kenge

Oya mwanangu wa kitambo fimbo ya mbali haiu nyoka

Rudi uwama wa vita neni haikombolewi twitter

Shemej naye ni binadamu

Vyakula vya dar vina …

Ila usijali jembe langu wanaume dar wakutafuta aah

Naongea na ninyi

Nyie ni watu gani

Mnanitanguliza mbele nikigeuka siwaoni

Nyinyi mnapenda umpea na viongozi wenu wanajua

Ndomana tukihoji vitu, wanawaletea umbea

Aah na si ndio nyinyi, ambao mlinsaliti mange

Akaacha kuposi siasa, ona sasa

Anaposi udaku ba connection kwenye app

Nauliza nyie wakina nani

Sijui mpo upande gani

Nyie wa kaki au kijani

Hivi nyie wa dunia gani

Vipofu (naani)

Viziwi (naani)

Mmekufa (naani)

Mmelafa (naani)

Ecouter

A Propos de "Nyie Ni Nani"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Jul 02 , 2025

Plus de Lyrics de NAY WA MITEGO

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl