SIFAELI MWABUKA Herode cover image

Paroles de Herode

Paroles de Herode Par SIFAELI MWABUKA


Herode mfalme wa Waisraeli
Herode mfalme wa Waisraeli
Alisikia habari kutoka kwa mama wajuzi
Alisikia habari kutoka kwa mama wajuzi

Yakwamba katika hori amezaliwa mtoto
Yakwamba katika hori amezaliwa mtoto
Kwa jina lake wanamuita Emmanueli
Kwa jina lake wanamuita Emmanueli, yeah

Akawatuma wapelelezi, Herode
Akaagiza jeshi lake liende Jerusalemu
Akawatuma wapelelezi, Herode
Akaagiza jeshi lake liende Jerusalemu

Jambo la kwanza, mtoto auawe
Jambo la pili, atafutwe jina lake 
Jambo la tatu, haribu mpango wake
Jambo la nne, haribu ndoto zake
Jambo la tano, asitangazwe mfalme
Eeeh Herode

Jambo la kwanza, mtoto auawe
Jambo la pili, atafutwe jina lake 
Jambo la tatu, haribu mpango wake
Jambo la nne, haribu ndoto zake
Jambo la tano, asitangazwe mfalme
Eeeh Herode

Hakujuwa aliyezaliwa, simba wa Yuda
Hakujuwa jina lake ni moto ulao
Hakujuwa mwanaume Yesu ni mfalme wa ulimwengu

Hakujuwa aliyezaliwa, simba wa Yuda
Hakujuwa jina lake ni moto ulao
Hakujuwa mwanaume Yesu ni mfalme wa ulimwengu
Yeah, Herode

Oooh mwambie Herode(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie nalindwa na Yesu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako na vitisho vyako(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie ninaye simba wa Yuda(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako sio bunduki kwangu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Eeeh mwambie, mwambie(Mimi hautoniweza aah)

Herode wako yuko wapi ndugu yangu?
Herode wako yuko wapi mama yangu?
Herode wako yuko wapi ndugu yangu?
Herode wako yuko wapi mama yangu?
Eeh, Herode

Anatafuta nyota yako oooh
Anatafuta elimu yako oooh
Anatafuta uchumi wako oooh
Anawinda ndoa yako iharibike(Hataliweza)
Anawinda ndoto yako isitimie(Hataliweza)
Anawinda mchumba wako akutenganishe(Hatakuweza)
Anaagiza jeshi lake likuuwe(Hatakuweza aah)

Oooh mwambie Herode(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie nalindwa na Yesu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako na vitisho vyako(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie ninaye simba wa Yuda(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako sio bunduki kwangu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Eeeh mwambie, mwambie(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie Herode(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie nalindwa na Yesu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako na vitisho vyako(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie ninaye simba wa Yuda(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako sio bunduki kwangu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Eeeh mwambie, mwambie(Mimi hautoniweza aah)

Ecouter

A Propos de "Herode"

Album : Herode (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 19 , 2019

Plus de Lyrics de SIFAELI MWABUKA

SIFAELI MWABUKA
SIFAELI MWABUKA
SIFAELI MWABUKA
SIFAELI MWABUKA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl