
Paroles de Pawa
...
Paroles de Pawa Par MBOSSO
S2kizzy baby
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona basata wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia aah
Mjusi ukuta wa plasta nauparamia
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari ni funue ufunuo oooh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Ecouter
A Propos de "Pawa"
Plus de Lyrics de MBOSSO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl