MBOSSO Amepotea cover image

Paroles de Amepotea

...

Paroles de Amepotea Par MBOSSO


Vipeperushi vinasambaa

Eti natafutwa aah

Nimepotea wiki imekata

Ndugu wamechachamaa

Wananitafuta aah

Nimepotea mwezi umekata

Kazini sionekani yupo wapi huyu

Simuni sipatikani yupo wapi huyu

Baba kaniulizia yupo waapi huyu

Mama haishi kulia

Yupo wapi huyu mimi

Nimezama katika kina kirefu cha bahari ya mapenzi

Nimezama katika kina kirefu cha bahari ya mapenzi

Sio andit purrer mwana Rajab mlomkuta

Tanga sijafanywa msukule msipate tabu

Kumaliza waganga

Amenirudisha shule hesabu maumbo kupanga

Penzi lawa sasa mbule lenye protini vitamini na wanga

Aaah ladha yake, si sukari, ni vichenza na malimao

Mechi zake huwa hatari, ni chenga na mabao

Kazini sionekani yupo wapi huyu

Simuni sipatikani yupo wapi huyu

Baba kaniulizia yupo waapi huyu

Mama haishi kulia

Yupo wapi huyu mimi

Nimezama katika kina kirefu cha bahari ya mapenzi

(Msinitafute, msihangaike nipo salama)

Nimezama katikakina kirefu cha bahari ya mapenzi

Ecouter

A Propos de "Amepotea"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Sharon Abonyo
Published : Jul 17 , 2025

Plus de Lyrics de MBOSSO

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl