
Paroles de Merijaah
...
Paroles de Merijaah Par MBOSSO
S2kizzy baby
Jirani yangu, jirani yangu tumezoeana
Mlango wake, mlango wangu vinatazamana
Sukari kwake, chumvi kwangu tukaazimana
Akawa bf wangu, udugu wangu tukashibana
Mwisho tukapendana
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
Mwambani mwambani eeeeh
Mwambani msuli na khanga
Wazania wazania eeheeeeehh
Waambie ndo tunayaanza
Ooooooooh
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
Ecouter
A Propos de "Merijaah"
Plus de Lyrics de MBOSSO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl