
Paroles de Amenishindwa
...
Paroles de Amenishindwa Par Lony Bway
Nguo nilishavua, nikashindwa kuoga ah
Kuna vimambo Fulani hivi vilinipa uwoga
Mimi mtu mzima
Mbona unaniwekea soda
Ama hujataka nichangamke ebu nichangamshe nilewe niongee
Nina mengi ya kusema ooh ya kusema
Mi nina mengi ya kuongea aah
Acha ma-ma ma-ma ma-ma ma-ma
Nalia huku nacheka maana nimetoka salama
Aya aya a ma-ma ma-ma-ma-ma-ma
Ni kweli alinitesa ila nimetoka salama amenishindwa
Mbwa yule angeniua, mbwa yule amenishindwa, mbwa yule angeniua
Amenishindwa
Amenishindwa
Kiranga kiranga kumo
Nilifika kikomo
Siwezi tena mapenzi yamenishinda yaliyomo
Zikinizidi nitazitoa hata kwa mkono, mkono aah mkono
Abo mchawi bukutu ama mchawi wesewe
Hakunaga nauli usiteseke
Acha ma-ma ma-ma ma-ma ma-ma
Nalia huku nacheka maana nimetoka salama
Aya aya a ma-ma ma-ma-ma-ma-ma ma-ma
Ni kweli alinitesa ila nimetoka salama amenishindwa
Mbwa yule angeniua mbwa yule amenishindwa mbwa yule angeniua
Amenishindwa
Ecouter
A Propos de "Amenishindwa"
Plus de Lyrics de Lony Bway
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl