
Paroles de Nimeshafika ft Mikasi
Paroles de Nimeshafika ft Mikasi Par LETEIPA THE KING
O lalala
Oooh nanana mwambie mama
Vampk mwambie mama
Vampk mwambie mama dih mikasi top, na vampk
Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeeh Tena mi nimefika salama,
Hilo Jiji la Loitokitok ntalikosa
Sana yeye anajua ilivyonichoma mama
Nyumbani dhiki, ikanibidi niende mbali ntawakosa
Mimi naenda kutafuta Mali
Acha niende mimi nanikija ujidai mama
Acha niende mimi nikirudi tufurahi
Mama yangu ma ujidaii
Mama weeh ufurahi
Mama yangu ma ujidai eh
Mama yangu we ufurahi
Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeeh Tena mi nimefika salama
Mwambie dada, elimu msingi dunia inakaba
Kama mapenzi mama, walipendaga wengi mwisho wakamwagwa
Basi na asome na bidii, nampendaga
Basi dada asome na bidii nampendaga
Nanivema siku ya Leo umewakumbuka
Ndugu zako na marafiki huku Nyumbani
Baba yako aliposikia alifyatuka
Dada yako na yeye haonekani Nyumbani
Mpenzi wako vaileti wafilisti wanamvizia
Wamempa spaghetti siku hizi anaturingia
Mama yako ameketi barazani akifikira
Heri angezaa Gazeti blanketi ama sufuria
Lakini kuja Nyumbani we tunakungoja (Ruuuudiii)
Hata kama wamekung'oa jicho Moja (Ruuuudi)
Yeyeyeiyeeeeh
Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeh Tena mi nimefika salama
Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeeh Tena mi nimefika salama
Ecouter
A Propos de "Nimeshafika ft Mikasi"
Plus de Lyrics de LETEIPA THE KING
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl