
Paroles de Nisambazie
...
Paroles de Nisambazie Par HAMIS BSS
Iyeeh
Lolo
Naitwa Bwaka
Tafaran tash mabusu ya kila saa
Sina kizungu zungu kanituliza nimeja
Kwake kama zuzu kila anacho sema sawa
Siwezi sema mengine mimi ana nichanganya
Wololo lololooo
Baby naona raha kukosa ni karaha wewe
Siwezi shinda njaa wakati chakula changu ni wewe
Baby naona raha kukosa ni karaha wewe
Siwezi shinda njaa wakati chakula changu ni wewe
Tulimwagilie penzi nisambazie raha peke yangu siwezi
Ninogeshe na mapenzi usinipe karaha
Oonh baby oonh ndio maana
Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo
Kwingine mi siwazi nakuwaza wewe
Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo
Kwingine mi siendi nakufata wewe apo
Oonh
Ata sisemi ndio nishakuwa hivi tunapenda sisi
Nishakula nyama mbichi kipenda roho
Nikihisi baridi yeye ndio kumbato akihisi joto namfuta jasho
Siwafichi ameshika kunako ataki marafiki anajua kikulacho
Tulimwagilie penzi nisambazie raha peke yangu siwezi
Ninogeshe na mapenzi usinipe karaha
Oonh baby oonh ndio maana
Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo
Kwingine mi siwazi nakuwaza wewe
Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo
Kwingine mi siendi nakufata wewe apo
Ecouter
A Propos de "Nisambazie"
Plus de Lyrics de HAMIS BSS
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl