UPENDO NKONE Utabaki na Mimi cover image

Paroles de Utabaki na Mimi

Paroles de Utabaki na Mimi Par UPENDO NKONE


Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Baba
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Katika pito hili baba (Utabaki na mimi)
Kwenye magumu haya baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi baba (Utabaki na mimi)
Uwe mfano wangu Yesu (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Majaribu ni kama moto yanauchoma moyo
Yamenipata mimi moyoni mwangu naumia
Nimesongwa pande zote sioni nafuu
Yesu njoo uwe na mimi

Kichwa changu kinaniuma moyo una mawazo
Jaribu hili baba yangu naona ni nzito sana
Limenijia kwa ghafla nimehuzunika sana
Yesu njoo nifariji moyo

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi)
Nishike mkono baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi)
Nishike mkono baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Mimi nalia machozi yangu uyaone baba
Mwili wangu umetetemeka pito ni nzito
Ewe Mungu wa urejesho unirejeshe tena
Yesu wangu uwe na mimi

Nakuomba baba wa huruma unitulize
Faraja yako Yesu wangu iwe na mimi
Unishike mkono Mungu wangu uniinue tena
Yesu njoo uwe na mimi 

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata nikiwa mjane baba (Utabaki na mimi)
Hata nikiwa yatima (Utabaki na mimi)
Usiniache baba, usiniache baba
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata ndoa ikiisha (Utabaki na mimi)
Hata ndoa ikiisha baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata wakinitenga (Utabaki na mimi)
Wakinifukuza mimi (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Marafiki wakikimbia (Utabaki na mimi)
Na dunia ikinitenga (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Washirika wakinigeuka (Utabaki na mimi)
Utabaki na mimi Baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Watoto wangu wakinitenga (Utabaki na mimi)
Yesu utabaki na mimi (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Wewe faraja ya moyo wangu
Yesu mtuliza bahari

Ecouter

A Propos de "Utabaki na Mimi"

Album : Utabaki na Mimi (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

Plus de Lyrics de UPENDO NKONE

UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl