DARASSA Nimetumwa Pesa cover image

Paroles de Nimetumwa Pesa

Paroles de Nimetumwa Pesa Par DARASSA


Luck ni kutafuta utakacho
Jealous itafanya mle kwa macho
Naweza kuwa mfano kwa wenzako
Tulovuja damu hatuogopi kuvuja jasho

Broke niggas wanakufa wakiwa na jealous eish
Mi nalipa bills, --
Coz I'm young wise and famous kid
Ah na tuko swag bitch
Madem kibao washanizimia data
Na ndio hao hao, wanaonizimia sasa
Call them the most confidential rapper
Naingiza M kila siku na sinenepi ata

Whatsapp bro endorse madeals
Nashinda kwenye -- sixty
Bars naandika ndani ya six dope
Nacop the deal nabonga na mapro
Na nazijua ni deal na naitaka ligi soo nana

Tushapitia mengi na mengi tushaona
Mpaka bukta za shule wahuni tushashona
Tukikosaga doh utadhani tunahoma
Tuna homa

Sijaja kuchekesha na kuelewesha
Usinitanie, kwani unanionaje?
Nimetumwa pesa
Eeh ee nilipe pesa yangu

Sijaja kuchekesha na kuelewesha
Usinitanie, kwani unanionaje?
Nimetumwa pesa
Eeh ee nilipe pesa yangu

Mtu mwingine maisha yake ni kukaa kaa tu
Mtu chatu mtu half mtu kiatu
Kutwa nzima yuko online Whatsapp
Akitoka kwenye udaku kudaka mambo ya watu

Wakati we umekimbia nyumbani stori
Eti mama hana kuchapu, urudi umalizie mtori
Tangu watoto tunagombania magoli
Na tamthilia zako Alenjandro I'm sorry

Ma MC tungo zinawatunga
Mistari nawafunga jamii inaona pumba
Hivi mjanja ni mtoto wa mjini anayedunda
Ushindwe rembeka Wini alikuja kutoka Ibunga

Let me try to break it down for you
And explain things okay my friend?
Kama nahitaji change nahitaji kuspend
Nina mahitaji mengi, do you understand

Sijaja kuchekesha na kuelewesha
Usinitanie, kwani unanionaje?
Nimetumwa pesa
Eeh ee nilipe pesa yangu

Sijaja kuchekesha na kuelewesha
Usinitanie, kwani unanionaje?
Nimetumwa pesa
Eeh ee nilipe pesa yangu

No money, no honey
Check our lives so funny
Mambo sio kama zamani
Chemsha bongo kichwani

No money, no honey
Check our lives so funny
Mambo sio kama zamani
Chemsha bongo kichwani

(Touch Touch)

Ecouter

A Propos de "Nimetumwa Pesa"

Album : Slave Become a King (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 CMG
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Dec 24 , 2020

Plus de lyrics de l'album Slave Becomes A King

Plus de Lyrics de DARASSA

DARASSA
DARASSA
DARASSA
Leo
DARASSA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl