...

Dawa Lyrics by ETHAN MUZIKI


Out of all the people

Ni we naona tu

My heart is looking for a home

Share your space for a minute or two

Siwezi kuacha hivyo

Niambie boo

Wapi unahitaji support

Nitafanya chini juu

Breathe out so I can breathe you in

Hold you in

Nitajikaza ukiwa na me uko pazuri

Umenipenda na centi zangu

Sumuni zangu haba na haba

Hatuwezi choka tukiwa pamoja

Mpenzi niko willing

Mapenzi ni kuakazana

Wawili kwa wawili

Wewe you are my power aah aah aah aah

Tukiwa wawili yote iko sawa

You make feel kama nimeshinda lotto

Facetime nitajipata kwenye ndoto

All day all night craving your vibe

Texting texting

Can I see you tonight

I just wanna feel your body next to mine

Nikiwa low low

You got me high like I don’t know

Baby umnenishika mkono

Nikiwa solo

Nimekwama kwa penzi lako

Umenitoa kwa soko

Chochote ninachotaka

Nimepata kwako

Mpenzi niko willing

Mapenzi ni kuakazana

Wawili kwa wawili

Wewe you are my power aah aah aah aah

Tukiwa wawili yote iko sawa aah aaah aah aah

Watch Video

About Dawa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 29 , 2025

More ETHAN MUZIKI Lyrics

ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl