...

Naogopa Lyrics by ENOCK BELLA


Mmmmmhh

Enock bella debase

Mapenzi hisabati

Hufanyika kwa matendo

Kama misamiaati

Tuyajaze mapengo

tena, nikamate mashati

Taratibu ndio mwendo

Chumbani nikarabati

Kwenye nguzo na engo

We ndio wangu waridi

Wa kwa joto na baridi

Unipae nikafaidi

Ooh laaa laaah

Wala sihitaji mashahidi

Ukinipa nipe Zaidi

Vikababu na vibibiih

Oh laaa laaah

Oooh naogopa

Pekee yangu naogopa

Kubaki mwenyewe naogopa

Oooh naogopa

Pekee yangu naogopa

Bila ya wewe naogopa

Kidogo nikikuleteaah

Pokea pokea

Mungu anatoa kwa nafasi

Yetu ya sogea

Ipo siku tutazi otea otea otea

Pikachuzi kitoweo tasi

Ugali nitasongea

Mmmmh

Usije dhubutu uh

Vitabia vya uchu uh

Ukawa kama kukuu

Nje kudonolea

Nitapiga marufuku uh

Wakina lufufu uh

Watatugawa nusuu

Penzi kutubomolea

We ndio wangu waridi

Wa kwa joto na baridi

Unipae nika faidi

Ooh laaa laaah

Wala sihitaji mashahidi

Ukinipa nipe Zaidi

Vikababu na vibibi

Oh laaa laaah

Oooh naogopa

Pekee yangu naogopa

Kubaki mwenyewe naogopa

Oooh naogopa

Pekee yangu naogopa

Bila ya wewe naogopa

Usije dhubutu uh

Vitabia vya uchu uh

Ukawa kama kukuu

Nje kudonolea

Nitapiga marufuku uh

Wakina lufufu uh

Watatugawa nusuu

Penzi kutubomolea

Watch Video

About Naogopa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 29 , 2025

More ENOCK BELLA Lyrics

ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl