DRAGON Swahiba cover image

Swahiba Lyrics

Swahiba Lyrics by DRAGON


Najua una ndoto toka mtoto
Upo shule 
Ila ni changamoto ndo uko hapo
Simama twende

Umechapika viboko vya matatizo uwoo
Toka kule
Liko karibu yako basi la faraja
Panda twende

Kwanza pandisha mrege
Suruali weka sawa
Alafu nikuelezege
Mambo yatokuwa dawa

Unasubiri upewe pesa na serikali yako
Nayo inasubiru kujengwa na nguvu zako
Serikali namba moja kichwa na mwili wako
Na mtaji tosha uzima, nguvu na afya yako

Pambana ukitoe kitaa kitaa
Hakina cha kukutoa swahiba yeah

Unatakaje? Sema sema
Sema iweje? Sema sema
Huenda hutolala tena 

Hutaamka tena yoh, sema sema
Huenda utachange kidogo
Change kidogo, sema sema

Hakuna haja kukuchana
We bado ni kijana na una nguvu
Miaka inakwenda kasi sana
Fanya vya maana, acha uvivu

Kutwa kucha kwenye vijiwe
Acha iyoo, aaah
Kuharibu watoto wa watu
Lugha zako chafu iyoo, aah

Unajua kwamba kesho wewe ndo mzazi
Unajua kwamba we ndo taifa tegemezi
Unajua kwamba tegemeo kwa wazazi
Unajua kwamba

Tusipoongea sisi ataongea nani?
Kidole kila siku uwe wewe tu
Kwani wewe nani?

Kwanza pandisha mrege
Suruali weka sawa
Alafu nikuelezege
Mambo yatokuwa dawa

Unatakaje? Sema sema
Sema iweje? Sema sema
Huenda hutolala tena 

Hutaamka tena yoh, sema sema
Huenda utachange kidogo
Change kidogo, sema sema

Watch Video

About Swahiba

Album : Swahiba (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 11 , 2020

More DRAGON Lyrics

DRAGON
DRAGON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl