Nitarejea Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Vipi mizigo umeshaweka tayari
Sijechelewa nkaachwa na gari
Basi jikaze usilie mpenzi
Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi

Zile taabu na njaa msimu mzima mavuno hakuna
Huwa nakosa raha pale mkikosa cha kutafuna
Roho yangu inauma, sema ntafanya nini na pesa sina
Nakuonea na huruma, bora niende mjini kusaka tumaa

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea
Wanajua kwamba nafsi na roho vitakuwa na wasiwasi
Ukumbuke na moyo utajawa na simanzi

Ntakapokuwa nakwenda shambani afu niko peke yangu honey
Ntapokuja kuwa na majirani ntaumia aaah
Pale napotoka kisimani ama nipo na kuni kichwani
Sina wakunitua nyumbani ntaliaa

Maneno yako yananfanya nakosa raha na mawazo
Hata mwenzako sijawahi kufika dar huu ndo mwanzo
Vile nakwenda na sijui pa kukaaa wala mavazi ooh
We niombee niepushwe na balaa na maradhi ooh

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
nawe usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea

Unapokwenda kama ukifika salama, utukumbuke na sisi
Usisahau kama mkeo na wana, umetuacha na dhiki
Vile usijali ila naomba chunga sana, ogopa na marafiki
Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama, waambie sidanganyiki
 
Unapokwenda kama ukifika salama, utukumbuke na sisi
Kumbuka mkeo na wana nyumbani, umetuacha na dhiki ooh
Vile usijali ila naomba chunga sana, ogopa na marafiki
Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama, waambie sidanganyiki

ntarejea mama
niombee nirude salama
ohhh watoto wadanganye
ihh, ohh

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea

Watch Video

About Nitarejea

Album : Diamond Singles (Single)
Release Year : 2013
Copyright : (c)2013 Visual Lab
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 06 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl