Nawaza Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Nawa nawa, nawa nawa, nawa nawa
Nawaza tu
Nawa nawa, nawa nawa, nawa nawa
Nawaza tu

Nawaza pru mpaka maka Ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa sasa sijui nini angesema
Na nimejifunza binadamu kweli hawanajema
Yani mtoto unaemtunza ndio anakuombea ukilema nashangaa
Nawaza Vanny na Elizabeth clip zao zikivuja
Ndoa itaimarika eti au ndio ataivunja
Nawaza muchana,usiku jibu halifiki
Wanaonitukana, tuna beef au ilimradi kiki
Nawaza hawa kina Kimambi bwana wangekuwa wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana si wangenizima sisikiki
Nilowaza leo nishawaza sana, mi na Kiba ugomvi kipi
Nikagundua ni ushamba na ujana wakugombania mashabiki

Nawa nawa, nawa nawa, nawa nawa
Nawaza tu
Nawa nawa, nawa nawa, nawa nawa
Nawaza tu

Oooh nawaza
Huenda Steven Kanumba angelikuwepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaazaa hivi kombe la dunia hatufikagi why
Nawaza, tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora tuache yataleta ukakasi
Je angekuepo Muzee Nyange, Uncle Shamte angepata nafasi
Nawaza ka ngеkua na Wema Sepetu hadi lеo
Sijui ngekua nshafulia au zaidi maendeleo
Ooh nawaza siku nikifa sijui wasafi itakufa
Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta
Nawaza oh Mama Dangote nani chozi atamfuta
Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka
Nilowaza leo nshawaza sana ninachoshindwa kuwa kipi
Nikagundua naepusha lawama maana najijua kwa kucheat

Nawa nawa, nawa nawa, nawa nawa
Nawaza tu
Nawa nawa, nawa nawa, nawa nawa
Nawaza tu

Watch Video

About Nawaza

Album : First Of All (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Mar 16 , 2022

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl