DAYOO  Utalala cover image

Utalala Lyrics

Utalala Lyrics by DAYOO


Kiukweli mi sina kitu
Hali yangu kama unavyoona
Ni mishe za kule na huku
Viwalo vyangu vya ilala boma
Je kwel umeridhiana na mi
Vijora vya buku sita utavaa baby
Kuna maneno mengi mtaani 
Mara nakuzeesha utaimili kweli 
Usiropoke ukinuna ukiwa na hila 
We niseme ata nikiwa na hasira 
Usijifunze kukaa na jambo moyoni 
Litakuja lisumbue baadae
Utakutana na nguna je we utakula
Vya kulumangia ndo nazingatia
Msaada wa ndugu sina je utavumilia 
Umekuja mazima we uje mazima

Na jee baby utalala lala
Usingizi mororo utalala lala 
Kwenye bangaroo  giza totoro  utalala lala
Ghetto na ndoo tu na godoro utalala lala
Kesho tuamkie kiporo 

Nashukuru umeona unifae 
Wakati ambao nipo juu ya mawe
Ushaamua nshaamua na iwe
Sa baadae usije unikatae

Kiganjani mwangu usiniponyoke 
Tupendane wambea tuwadondoshe
Yani baby nishike twende wote 
Wakikutisha nipo ivyo usiogope 
We kwangu zaidi ya sarafu sarafu baby 
Kukupenda mbona sana tu sana baby
Na je wewe
Utakutana na nguna je we utakula
Vya kulumangia  ndo nazingatia
Msaada wa ndugu sina  je utavumilia 
Umekuja mazima we uje mazima

Na jee baby utalala lala
Usingizi mororo utalala lala 
Kwenye bangaroo  giza totoro utalala lala
Ghetto na ndoo tu na godoro utalala lala
Kesho tuamkie kiporo

Watch Video

About Utalala

Album : Utalala (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Sep 23 , 2021

More DAYOO Lyrics

DAYOO
DAYOO
DAYOO
DAYOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl