DAYOO  Umebadilika cover image

Umebadilika Lyrics

Umebadilika Lyrics by DAYOO


Yep Aaah
Naitwa mangil
Oyeyeh
Mbona umebadilika wee
Siwezi kukubadilisha mi
Nona umebadilika wee
Siwezi kukubadilisha mi

Ulianza na visavisa wee
Ukiniona unakunja ndita wee
Maugomvi bila visa yeeh
Inaonesha umenichoka mi
Basi usingetia nia Kama huwezi
Umebadili gia na huendi
Naona unachati nao  tena wengi
Nisikufatilie haupendi
Nikweli unakasoro zako
Binadamu najuaa Huja kamilika
Ila upo kwenye maisha yangu
Ukiondoka yatavrugika  baby

Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi
Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi
Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi
Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi

Oyeyee eeh
Hivyo vimini vipodozi Ulivyojua
Ipo siku vitakutokea kwenye pua
Hao mashoga zako Kwani ujawajua
Wanafanya utoto kama Kama hawajakua
Hauna roho ya kibinadamu
Unaendeshwa na mainstagramu
Umebadili mpaka na nidhamu
Kiasi mpaka cha kundiharau
Basi usingetia nia Kama huwezi
Umebadili gia na huendi
unachati nao  tena wengi
Nisikufatilie haupendi
Nikweli unakasoro zako
Binadamu najuaa Huja kamilika
Ila upo kwenye maisha yangu
Ukiondoka yatavrugika  babyy

Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi
Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi
Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi
Naona umebadilika we
Siwezi kukubadilisha mi

Watch Video

About Umebadilika

Album : Umebadilika (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Dec 03 , 2021

More DAYOO Lyrics

DAYOO
DAYOO
DAYOO
DAYOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl