Tumepoteza Lyrics by DARASSA


(Abbah)

Ah, I swear to God for my life
That I speak from my heart
Ushawai kupenda
Let me see your hands up

(Classic Music)

Ah, mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani

Mapenzi ya vikwazo mitihani
Kila mmoja anaumia ndani
Tulivyo anza mwanzo sikudhani
Kama yangepotelea hewani

Kwako nilijifunza kupenda
Sikuwa na pumzi ata ya kuhema
Kuwa na wewe mazoea yakajenga
Ukafanya nikuwaze kila sehemu ninayo kwenda

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa handle

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Ah, ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji

Sometimes, hisia zinakudanganya
Unatanga na njia hujui la kufanya
Huwezi kukimbia unacho kipenda sana
Unabaki unaumia, akili inakuchanganya

Tunacheat wakati tunapendana
Tunapendana vipi tusipoaminiana
Mimi na wewe imebaki kuzoeana
Haya sio mapenzi, mapenzi ya kutesana

Mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?

Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji

Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Mambo yalivyokuwa mimi nawe

Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Oooh yeah eeh

Yako wapi? (ooh beiby)
Yako wapi?(yako wapi?)
Yoh yako wapi?(no no no no no)
Yako wapi? (oooh beiby)
(Abbah)

 

 

Watch Video

About Tumepoteza

Album : Tumepoteza (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 08 , 2019

More DARASSA Lyrics

DARASSA
DARASSA
DARASSA
Leo
DARASSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl