
Unanijali Lyrics
Unanijali Lyrics by DANNY GIFT
Sasa simple kwema
Kwa hii single natema
Kila jimbo napenya
Na huu mtindo ndo kusema
Mungu ananipeleka na rada(Na rada)
Namsifu wazi si kwa faragha(Faragha)
Mungu ananipeleka na rada(Na rada)
Namsifu wazi si kwa faragha
Unanijali, sa kwa nini nisideke
Chali chali, sina wasi wee
Nasema woi, mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yanakimbia
Mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yana
Fire! Huduma kalongolongo
Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo
Fire! Hizo stori za uwongo
Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Fire! Huduma kalongolongo
Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo
Fire! Hizo stori za uwongo
Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Maisha yangu nagarura
Mashida kwangu swala mboga
Na bado tunazidi songa
Kimoja ka masai na njora
Ahmm laleiyo, mimi napenda Yesu...
Unanijali, sa kwa nini nisideke
Chali chali, sina wasi wee
Nasema woi, mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yanakimbia
Mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia
Yakimwona Yesu yana
Fire! Huduma kalongolongo
Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo
Fire! Hizo stori za uwongo
Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Fire! Huduma kalongolongo
Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo
Fire! Hizo stori za uwongo
Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Ahmm laleiyo, mimi napenda Yesu...
Fire! Huduma kalongolongo
Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo
Fire! Hizo stori za uwongo
Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Fire! Huduma kalongolongo
Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo
Fire! Hizo stori za uwongo
Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Watch Video
About Unanijali
More DANNY GIFT Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl