
Uzuri Lyrics
...
Uzuri Lyrics by BUKI
Lalalala lalalaaah
Oooh oooh
lalalala lalalaah
Nimeruhusu macho yangu
Yakutazame wewe tu
Naruhusu masikio
Yakusikie wewe tu
Nimeruhusu Akili yangu
Ikuwazie wewe tu
Tatizo uzuri wangu
Wanitamani wengi tu
Yalaiti ungejua
Wangapi wananiomba number
Shababu Nakupenda shana
Timu timu nawakataa
I wish ungejua
La la laaa
Wangapi wananitongoza
La La laaah
Sababu Nakupenda shana
Timutimu nawakataa
Ooooh wo wooh
Tatizo nimezidi uzuri
Ndomana unateswa na wivu
Ila mchuchu usijali
Handsome huyu ni wako tu
Tatizo nimezidi uzuri
Lapapopapooo
La La La laaah
Ila mchuchu usijali
Pisi kali huyu ni wako tu
Ni wako tu
Onokuchi (onokuchi)
ekwueme (ekwueme)
Omg (omg)
bless my love
Wenye mambo yakidigitali
Walondani kwenye magari
Wasitututese wa vibatali
Bby ooh my love
Nimekuletea Dera
Nimekosa Abaya
Nitaleta nikipata hela
Usijisikie vibaya
I wish ungejua
La La laah
Wangapi wananitongoza
La La lah
Sababu Nakupenda shana
Timu timu nawakataa
Tatizo nimezidi uzuri
Ndomana unateswa na wivu
Ila mchuchu usijali
Handsome huyu ni wako tu
Tatizo nimezidi uzuri
Ndo mana unateswa na wivu
Ila mchuchu usijali pisi kali huyu ni wako tu
Ni wako tu
Watch Video
About Uzuri
More BUKI Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl