...

Ndoa Lyrics by BUKI


Jazzy akeee

Nime ikubali ndoa

Kwa mahari tuliyokubaliana

Nilikesha

Nikaomba dua

Mola anipe wa kufanana

Eti walimuita King'ang'a

Hapendwi, anang'ang'ania

Wapambe wakanong’ona

Aolewi, anachezewa

Hajalipiwa masahafu

Mahari ametolewa

Ma-Ex mtapata tabuJ, iko nimelifungia

Nimedata na joto lake

Ndiyo maana nikaitaka ndoa

Niliweka oda kwa Muumba wake

Huyu kijana kuniletea

Eti wifi hajui kupika Sijaolea familia

Mara shemeji kijuso Sijaolea familia

We Masudi, Silimisha

Faza Mauji Sikia midundo

Twende hapo hapo hapo hapo

Isha Mashauzi

Raha ya kula wali

Uanze na matandu, kisha ukoko

Mapenzi ni ufundi

Hata uishie kimoko

Ukipewa kopo la sukari

Nailambaaaa

Ohhh sukari nailamba

Mama sukari nailambaaaa

Woooow! Sukari nailamba

DJ Kidogodogo

Mwambie Dullah MakabilaAache sifa

Ndoa si jambo dogo

Aulize Manara na Zailisah Mama

Kopo la sukari nailambaaaa

Wowoo! Sukari nailamba

Aaiii wee sukari nailamba

Wowoo! Sukari nailamba

Wewe ni Mtanga au Mzaramo

Kwani wewe unaonaje

Ama ni Mmakonde

Wewe unaonaje?Ebu tuonyeshe

Alegigigigigigigigigigigigigigi

Wazee wenzangu

Tuwarudishe watoto wa elfu mbili shule

Dozeeeee

Krekeketakrekeketaaaa

Ewaaaaah! Eeeeeeeeh waaaah

Jemapelle Buki

Papaaa tindwaaaa!Papasa kitambi, papasa!Oooh papasaaa

Saidi Lugumi papasa

Weeeh Superfelo

Papasa!Bibi Saida

Papasa!Khadija Kopa

Papasa!Kama umelipa kodi

Papasa!Umelipa vikoba papasa

Hayakusumbui mapenzi papasa

Mjini uishi kwa kudanga papasa

Haya sasa, waige na huku

Watch Video

About Ndoa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 13 , 2025

More BUKI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl