Tujenge Lyrics by BROWN MAUZO


Naona kama una kitu moyoni
Nahisi kwamba we hujaniamini

Nishalia unizalie, daily tomorrow wewe
Hata wazazi wanishuku nina kasoro
Nishalia unizalie, daily tomorrow wewe
Hata wazazi wanishuku nina kasoro

Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga
Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga

Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)
Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)

(Ihaji made It)

Naomba usione nakataa
Maisha ngumu hata kula ni balaa
Chumba cha kupanga, kodi ya kuchanga
Naomba ngoja ngoja, hadi mambo yawe sawa

Kama kuzaa nitazaa na wewe
Hata mapacha nitazaa na wewe

Sio lazima mapacha 
Hata mmoja sawa
Usijali kuhusu mapenzi
Maana Mola ndo mgawa

Oooh si uliniambia
Milele utaishi na mimi
Uliniambia
Kulea utalea na mimi

Ungenieleza wazi kinagaubaga
Kuliko kunizuga kunichanganya
Ungenieleza wazi kabla sijalala

Ungenieleza wazi kinagaubaga
Kuliko kunizuga kunichanganya
Ungenieleza wazi kabla sijalala

Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga
Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga

Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)
Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)

Ngoja bado, sijakataa
Sijakataa, sijakataa
Oooh, yeah, oooh 

Watch Video

About Tujenge

Album : Tujenge
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 25 , 2020

More BROWN MAUZO Lyrics

BROWN MAUZO
BROWN MAUZO
BROWN MAUZO
BROWN MAUZO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl