Kutu Lyrics by BERRY FAMILY


Berry Family ft Boondocks Gang - Kutu luyrics

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Ngoja kwanza nipige kishada
Maidhaa nimpige martial aah
Kaa na mimi ama akuwe national
Ka haniamini nikiwa na show aah

Rungu yangu haipumui ka haichungi hapa
Mzinga ni ya manyuki leta mtungi hapa
Toboa hizo shimo nitanunua pamper
Itala hazishiki so akunywe Fanta

Ka ni tire na chaser ni mangale
Ni msupa na anakaa Ess yule mkale
Ni mgenge nashindwa ka ni wa kale
Mkono ni ya Githu na sura ni ya Karen

Mpango wa kando ashakuwa hadi Karen
Anapenda hapendi waras sijui Bob Marley
Alikam beach bana ka amedunga jale
Alidai hachimbi tire na ana nare 

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Washa shada leo mpaka tuna mbulu
Hapana kaza bana mimi nina kutu
Ita shiko ita Shiro mi ni guru
Nawabeng nimejipin nina rungu

Toto langu liko fiti lina pongi
Linadai nimsese kwenye kochi
Blondi silegezi niko horny
Piga kelele ongeza pia honi

Odi wa Murang'a mi sijai nunua nunu
Na tangu niweke dye namanga softi ka Waiguru
Ju hii colour inakaa ikus ya kanugu
Ju vile inatupa unaeza dhani aliosha na kanuthu

Vile amebeba unaeza dhani amebebea kijiji
Ju huwezi mkula kavu ukijaribu utasafiri
Huwezi mnusa ikus ukijaribu utasneezi
Na ka una kutu chimba kitu itoe masauti

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Yule nugu sugu, nisharausha dudu
Hii game si bubu utadhani voodoo
Niko dudu, niko b.a niko juju
Niko set na waresh wanadai tu kudoo doo

Kasa nani mi ngwiji
Pewa maji, pigwa maji 
Hiyo dudu pigwa rungu
Jogoo nishawika jiji

Ati Wes ndio mpishi
Lazima niwatest na kwanza siwafichi
Lazima niwakiss, mi hupenda ule ngeus 
Hujaza shada kwa kiti
Ju leo ni ka meeting 
Na pongi zinasababisha miti

Wako dudu mandugu na rungu
Wanategea mrombos
Mi ndio peddy mi huwakindia kiwada
Mi ndio mbang'a mi huwachezesha na rada

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Si ameng'ora na mi niko(Kutu)
Zimeshika nami niko(Dudu)
Na amekwara na mi niko(Kutu)
Niko dudu, niko kutu

Watch Video

About Kutu

Album : Kutu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 03 , 2020

More BERRY FAMILY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl