
Hauzimi Lyrics
Hauzimi Lyrics by BENSON
Hummmm… Hummmm
Ni vi pi naweza kunagesha
Furahisha na pendo likolee
Nieleza kitu gani sijafanya au unafanya nakosea
Niwapi nitashika ukaridhika
Burundika na penda liendelee
Maana imekuwa nongwa kisa rika unambia
Swezi mengineee
Mapenzi ya upepo
Maana bendara mama we
Mwenzako moto
Hauzimi ! hauzimi!
Mwenzako moto Hauzimi !
Basi slow tempo!
Namaliza sabuni
Mwenzako moto, hauzimi, hauzimi
Mwenzako moto
Hauzimi !
[VERSE 2]
Mwanzo ulisemaaaa
Nakuchenguaaa
Unanini si hata kidogo
Upotezi dk wala masaa
Na ukasemaaaa…
Me ntateuaa
Na tena kwenye mechi nakiwasha
Me samatta na shanga nazikataaa
Mapenzi ya upepo
Ona bendela mama wee
Mwenzako moto hauzimi, hauzimi
Mwenzako moto
Hauzimi
Basi slow tempo
Namaliza sabuni
Mwenzako moto, hauzimi hauzimi
Mwenzako moto
Hauzimi
Mamii umezima data
Mwenzako mtandao usje ukataa
Bila wewe siwezi
Mapenzi na ukija kuniacha
Utaniachia utata
Juludi kama zamani
Penzi liwe shatashata
Kuliko kunifanya ka mbumbu mwenyewe
Ukanacha wengine ukafata
Ooh baby why
Ayaaaya ayaaya ayaaya
Ooh baby why
Ayaaaya ayaaya ayaaya
Mapenzi ya upepo
Ona bendera mama wee
Mwenzako moto hauzimi, hauzimi
Mwenzako moto
Hauzimi
Basi slow tempo
Namaliza sabuni
Mwenzako moto, hauzimi, hauzimi
Mwenzako moto
Hauzimi
Watch Video
About Hauzimi
More BENSON Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl