Upofu Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Mi kweli natamani siku iwezekane
Nifumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nifumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Mara nyingi peke yangu nawaza
Namuomba Mungu nisije kukwaza
Nikaja kukupa maudhi na nafsi kuichoma
Chei, tena usiku mzima nalia darling
Napiga goti kwa Mola nasali
Azidi tupe baraka tusije kosa dona

Eh, mi macho yangu nimejaliwa mboni lakini nuru sina
Ningekuwa na uwezo ningefanya kazi nikuhudumie
Upofu wangu ndo kikwazo kikubwa, mwenzako raha sina
Lakini unanijali, mbali na mengi unanipenda sana

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nifumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nifumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Nasikia kuna rangi ya upendo
Ili upendwe kuna pozi za mwendo
Utanashati, udambudambu na urembo mi sina
Mi natamani nitazame
Kwa ardhi na mbingu nilalame
Nipande mawingu na niiname
Uwenda nikaona

Eh, mi macho yangu nimejaliwa mboni lakini nuru sina
Ningekuwa na uwezo ningefanya kazi nikuhudumie
Upofu wangu ndo kikwazo kikubwa, mwenzako raha sina
Lakini unanijali, mbali na mengi unanipenda sana

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nifumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nifumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Nikuone mama, niweze tazama
Every body say ee-eeh ee-eh ee
Ee-eh ee-eh ee, eh
Ee-eh ee-eh ee, I love you, nakupenda
Tena! Ee-eh ee-eh
Ee-eh ee-eh ee, eh
Ee-eh ee-eh ee, I love you, nakupenda
Say ee-eeh ee-eh ee
Ee-eh ee-eh ee, eh
Ee-eh ee-eh ee, I love you, nakupenda

Watch Video

About Upofu

Album : Diamond Singles (Single)
Release Year : 2014
Copyright : (c)2014
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 02 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl