ASLAY Kilangakomo cover image

Kilangakomo Lyrics

Kilangakomo Lyrics by ASLAY


Uvivu wa kuchagua nimeula wa chuya 
Nilichagua sura, wala sikujali tabia
Na kubwa kupungua ndipo kanijia

Mateso yake kutwa namfikiria
Kumbe nimeuziwa mbuzi kwa gunia
Kwenye cover burger ndani nilikuta bajia

Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama

Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama

Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za - zimejaa anazipitaga

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Nishaga kumbana na pazi na kazi nikakosa
Baada ya kufuma message nikamiss kutomaswa
Nishagombanaga naye ni fundi wa msasa
Kapiga msasa bedi na penzi akala kabisa

Sasa nikupe nini wewe malkia
Utulie kama nilivyotulia
Unataka nife siku hazijafikia
Hicho labda ndicho unasubiria mmmh

Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama

Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama

Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za - zimejaa anazipitaga

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Watch Video

About Kilangakomo

Album : Kilangakomo (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 12 , 2020

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl