
Tabibu Lyrics
Tabibu Lyrics by ANGELA CHIBALONZA
Ni tabibu wa karibu, tabibu wa ajabu
Na neema za daima ni dawa yake njema
Hatufai kuwa hai, wala hatutumai
Ila yeye kweli ndiye atupumzishae
Imbeni malaika sifa za Yesu bwana
Pekee limetukuka, jina lake Yesu
Dhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani, hata kwake mbinguni
Uliona damu jina la Yesu kristo bwana
Yu na sifa kwenye kufa asiishidwe na kufa
Imbeni malaika, sifa za Yesu bwana
Pekee limetukuka jina lake Yesu
Kila mume asimame, sifa zake zivume
Wanawake na wasiiche kusifu jina lake
Imbeni...
Watch Video
About Tabibu
More ANGELA CHIBALONZA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl