ANGELA CHIBALONZA Ebenezer (Umbali tumetoka) cover image

Ebenezer (Umbali tumetoka) Lyrics

Ebenezer (Umbali tumetoka) Lyrics by ANGELA CHIBALONZA


Umbali tumetoka, na mahali tumefika 
Ndio maana ninatambua, kwamba wewe ni ebeneza 
Sio kwa uwezo wangu, ila ni kwa uwezo wako 
Mahali nimefika, acha nikushukuru 

EE Bwana umenisaidia, nifike mahali nimefika 
Bwana wewe ni ebeneza, maishani mwangu oo 
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 

Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 
Oo Ebeneza, jiwe langu 
Ninataka maisha yangu, yajengwe juu yako 

NInataka ndoa yangu, ijengwe juu yako baba 
Ndoa zilizojengwa juu yako yahwe, hazivunjiki kamwe 
Nyumba zilizojengwa juu yako yahweh hazivunjiki kamwe 
Ninataka uimbaji wangu baba, ujengwe juu yako 

Maana wewe ni sauti yangu, wewe ni uzima wangu 
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 
Oo Ebeneza, jiwe langu 

Ebeneza lang'a, libanga nangai ya tala
Ole kidya mape wolo papa ee kati na bomoyi nanga
Nzambe na kumisio, mokote ko nani nayo
Bisika nako milele o yahwe, ezali sela makasi nayo

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 

Ebenezer ni jiwe langu, jiwe langu la msingi 
Mahali nimefika leo, Ni kwa ajili yako ebeneza 
Mawe mengi yako hapa chini ya jua 
Kuna dhahabu, kuna almasi Kuna mawe hata sijui majina yake 
Lakini hakutawahi kuwa jiwe kama ebeneza 

Watch Video

About Ebenezer (Umbali tumetoka)

Album : Ebenezer (Umbali tumetoka) (Single)
Release Year : 2008
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 16 , 2020

More ANGELA CHIBALONZA Lyrics

ANGELA CHIBALONZA
ANGELA CHIBALONZA
ANGELA CHIBALONZA
ANGELA CHIBALONZA

Comments ( 1 )

.
Zakayo agai 2021-01-03 15:27:15

The song is good and is really encouraging.God bless



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl