ALI MUKHWANA Nikuabudu cover image

Nikuabudu Lyrics

Nikuabudu Lyrics by ALI MUKHWANA


Hakuna Mungu mwingine 
Kama na wewe Yesu
Tunaliabudu jina lako mfalme

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Wewe ni zaidi ya mshindi
Wewe ni zaidi ya mshindi
Tangu enzi unaitwa Mungu
Unaitwa Mungu mwema
Ni nani mwingine aliye kama wewe
Wewe bwana 

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Hakuna kama wewe Yesu
Hakuna mwenye neema kama yako mfalme

Kwani mi ni nani unitunuku hivi baba
(Unitunuku hivi baba)
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine
Umenipa uhai bwana 
Mausia yako kaiweka sahihi

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Katika majaribu Ayubu alishinda
Wana wa Israeli ukawashindania
Na mimi najua utanishindania
Yote unayopitia Mungu yuko pamoja na wewe

Kile nakuomba mpe sifa zote
Kwako Yesu

Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote
Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote bwana

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Watch Video

About Nikuabudu

Album : Watakusema (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 25 , 2020

More lyrics from Watakusema album

More ALI MUKHWANA Lyrics

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl