PAUL CLEMENT Nikumbushe Wema Wako cover image

Nikumbushe Wema Wako Lyrics

Nikumbushe Wema Wako Lyrics by PAUL CLEMENT


Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
Ni ajabu sana namna moyo unahangaika kutafuta majibu
Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka yakwamba japokuwa Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu japokua Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu
Ahh nakumbuka wana wa Israel katika bahari yashamu japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwanaa Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo
Manung'unikoo yalisimama na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah
Eee Mungu Niisaidieee eee eenhee
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Eeeh Ee MUNGU Nisaidiee
Nisaidieee kukumbuka baba yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh na mimi umenionaa oooh ooo
Nikumbushe baba yakwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleniii ouoooh ooh
Yakwamba kama ungeniacha hatua moja nisingelifika nilipo ooh eee Babaa umenikunguta mavumbi kunguta mavumbi mimi na kuniheshimisha
Oooooh oooooh

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu Nisaidie Yesu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozii 

Watch Video

About Nikumbushe Wema Wako

Album : Nikumbushe Wema wako
Release Year : 2016
Copyright : ©2016
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 10 , 2020

More PAUL CLEMENT Lyrics

PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl