Roho Mbaya Lyrics by NADIA MUKAMI


Nisha kuwa na rafiki zamani
Nikamwambia siri zangu za ndani
Akaziweka hadharani

Tena nikakuwa na rafiki wa kufa kuzikana
Pale pesa zilipokwisha naye akanikwepa
Nishachumbia mpenzi wangu
Nilipopata mimba akasema sio yangu

Leo mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia

Mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia

Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee

Wameniwekea mitego 
Nisisonge mbele
Wanatamani vyangu viwe vyao 
Wananionea gere

Wamengoja nisote wacheke
Nisote wasema
Wanangoja nishuke mziki waseme
Ooh waseme

Leo mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia

Mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia

Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee

Cheza kama umepata kazi wee
Cheza wakuone umenunua gari
Cheza kama umepata kanyumba wee
Cheza kama una pesa za kwako

Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee

Watch Video

About Roho Mbaya

Album : Roho Mbaya (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Sevens Creative Hub
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 21 , 2021

More NADIA MUKAMI Lyrics

NADIA MUKAMI
NADIA MUKAMI
NADIA MUKAMI
NADIA MUKAMI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl