Chura Superstar Lyrics by MEJA KUNTA


Oh jamani dada danga usiombe bia
Mi ndo chura Superstar
Malaya wenzako wananijua 
Nishadanga kila baa

Oh jamani dada danga usiombe bia
Mi ndo chura Superstar
Malaya wenzako wananijua 
Nishadanga kila baa

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Oh jamani inakaa mabwana 
Nataka kulala naye
Malaya nishadanga mji mzima
Sioni wa kutoka naye

Oh jamani inakaa mabwana 
Nataka kulala naye
Malaya nishadanga mji mzima
Sioni wa kutoka naye

Mi nataka nitoke na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe
Oh jamani mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Basi mama mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa
Namchat anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa
Namchat anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa

Kaka unataka mapenzi gharamia 
Usiombe ya bure utaumia
Nishadanga kusini, kaskazini
Unakotaka chukua

Kaka unataka mapenzi gharamia 
Usiombe ya bure utaumia
Nishadanga kusini, kaskazini
Unakotaka chukua

Wapi twende popote nakupatia
Kwa Lulege mi hata dumu nakalia
Sina wenge chupa ya soda napasua

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Oh jamani inatamaa machura
Nataka kulala naye
Malaya nishadanga mji mzima
Nimekosa kutoka naye

Jamani inakaa machura
Nataka kuondoka naye
Malaya nishadanga mji mzima
Sioni kutoka naye

Mi nataka nitoke na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe
Oh jamani mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Basi mama mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa
Namchat anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 

Oh jamani timbuli kaka
Makimo na haujazima dada
Timbuli kaka makimo maujauzima

Eeh katika, inuka inama
Binuka mizuka inuka
Tunasepa na kijiji

Machizi mmechoka bado, bado
Mmechoka bado,bado
Na mmechoka bado,bado
Mmechoka bado,bado
Na mmechoka bado,bado
Mmechoka bado,bado

Oh jamani machizi wanacheza
Kama mzee jongoyo
Wanangu wanaruka kama mzee jo
(Jamani mi naogopa)

Ohh jamani mzee jingoyo
Mzee jingoyo
Mzee jingoyo, Mzee jingoyo

Watch Video

About Chura Superstar

Album : Chura Superstar (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 26 , 2020

More MEJA KUNTA Lyrics

MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl