Ni Wewe Lyrics by MATHIAS WALICHUPA


From January to December nimejua alinilinda
Ni wewe 
Tangu mawio machweo alinipa huu mwangaza
Ni wewe

Nyakati za huzuni, furaha
Zote unanipa amani
Milimani, mabondeni 
Kote unakuwa nami

Nchi ya ahadi ni nzuri imejaa asali
Iyee iyee, iyee iyee
Na mwisho wa njia ni mzuri kuliko mwanzoni

Wa kunifikisha mbali ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe

Sina mwingine 
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe

Ujaze bodo langu mishale
Vitani ni wewe Bwana
Ufutae uso wangu aibu
Na fedheha ni wewe Bwana

Hayupo mwingine 
Wa kunifuta machozi yangu ila ni wewe
Ninapokosa ujasiri
Na nguvu zijaponiishia msaada wangu ni wewe

Nchi ya ahadi ni nzuri imejaa asali
Iyee iyee, iyee iyee
Na mwisho wa njia ni mzuri kuliko mwanzoni

Wa kunifikisha ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe

Hayupo mwingine ila wewe Bwana
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe msaidizi wangu Bwana
Ni wewe Bwana, ni wewe

Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe

Watch Video

About Ni Wewe

Album : Ni Wewe (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 14 , 2021

More MATHIAS WALICHUPA Lyrics

MATHIAS WALICHUPA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl