...

Nangoja Lyrics by MATHIAS WALICHUPA


Siachi

Nitasubiri ahadi zako ooh

Ninautambua

Upendo wako

Juu ya maisha yangu

Ninazitambua

Fadhili zako

Za mchana na usiku

Hata kwa hili ninalilopitia

Imani yangu

Ni kwamba litakwisha

Nitalizunguka rohoni siku sita

Kama yeriko

Yasaba litaanguka

Sichoki kukungojea

Najua mawazo mema waniwazia

Siachi kuvumilia

Nitasubiri ahadi zako kutimia

Imani yangu iko kwako, we (ah ah ah ah)

We haushindwi (ah ah ah ah)

Nakuamini (nitangoja utende)

Auchelewi wala auwahi (ah ah ah ah)

Ooh bwana (ah ah ah ah)

Mimi nitangoja

Nitangoja utende (ooh ooe)

Chezaa kompaaa

Eeh kila jambo na wakati wake

Najua na mimi wakati wangu upo

Yesu wangu hawezi niacha

Atasimama na mimi ee (ouwo uuu)

Japo nimesikia (nimesikia)

Maneno mayonenewa (maneno mayonenewa )

Yakunizuia kunikatisha tamaa

Nianguke mimi nitalishika lile uliloniambia

Maana neon lako ni hakika

Utafanya ah ah ah

Sichoki kukungojea

Najua mawazo mema waniwazia

Siachi kuvumilia (nitasubiri)

Nitasubiri ahadi zako kutimia

Mimi nakuamini (ah ah ah ah)

Nakuamini (ah ah ah ah)

Hakuna gumu kwako (nitangoja utende)

Subira yangu nitaiweka kwako (ah ah ah ah)

Nitasubiri majira yako (nitangoja utende)

Chezaa kompaaa

Watch Video

About Nangoja

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright : ©2024 Mathias Walichupa. All rights reserved
Added By : Farida
Published : Nov 27 , 2024

More MATHIAS WALICHUPA Lyrics

MATHIAS WALICHUPA
MATHIAS WALICHUPA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl