...

Yamekwisha Lyrics by MATHIAS WALICHUPA


We si dharimu, nikikuomba mkate

Wewe unipe jiwe

Tena si dharimu nikikuomba samaki

(Wewe unipe nyoka)

Kama mauti haikukushinda

Je Mapito yangu kwako ni nini

Uliposema yote yalikwisha

(Kweli yote yalikwisha)

Bado nasubiri, kauli yako ya mwisho

Bado nangojea, muujiza wangu

Ninakuamini, we mwokozi wangu

Naninakiri yamekwisha

Yaame-kwisha

Yote yamekwisha (Yamekwisha yote)

Yote yamekwisha (Kwa jina la Yesu)

Yote yamekwisha (Ninakiri)

Ninakiri yamekwisha (Wakati wa machozi ninauona ushindi)

Yote yamekwisha (Yamekwisha)

Yote yamekwisha (Kwa jina la Yesu)

Yote yamekwisha (Ninakiri)

Ninakiri yamekwisha

Ouyee

Uuh-uu-uuu

Ouye-yeye

Eeh, eeeh, eeee

Ulikufa kwaajili yangu

Ili mimi niishi kwaajili yako

Umenitua mzigo mzito

(Umenipumzisha)

Sasa furaha imerejea

Niliyopoteza umerejesha

Amani ya moyo umenipa

Yote (yamekwisha)

Hakuna wa kubadili kauli yako ya mwisho

Hakuna wa kuzuia muujiza wangu

Umenitendea eeh mwokozi wangu

Kweli yote yamekwisha

Yote yamekwisha (Naamini)

Yote yamekwisha (Kwa jina la Yesu)

Yote yamekwisha (Ninakiri)

Ninakiri yamekwisha (Yaliyonitesa)

Yote yamekwisha (Yote)

Yote yamekwisha (Yaliyo niumiza)

Yote yamekwisha (Ymekwisha)

Ninakiri yamekwisha (Ouyee)

Watch Video

About Yamekwisha

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 11 , 2025

More MATHIAS WALICHUPA Lyrics

MATHIAS WALICHUPA
MATHIAS WALICHUPA
MATHIAS WALICHUPA
MATHIAS WALICHUPA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl